Pages

Powered by Blogger.

Thursday, May 14, 2020

Athari ya sumu ya nyoka| Kigogo



Kwa kutumia mifano mwafaka, onyesha kwa hoja kumi na nne(14) jinsi sumu ya nyoka ilivyoathiri eneo la Sagamoyo katika tamthilia ya kigogo.

i)  Vifo mfano Ngao junior
ii) Watu wanageuka vipofu
iii) Ukengeushi mf. Ngurumo
iv) Kuanguka chini ovyo ovyo na kugaragara
v) Wanafunzi katika shule ya Majoka wamegeuka vichwa  maji.
vi) Hawatambui athari za ulevi.
vii) Hawaoni athari ya soko kufungwa
viii) Kupotosha vijana ( gume gume)
ix) Kupotoka kwa maadili
x) Kuvunjika kwa ndoa

xi) Waathiriwa wanatumiwa na viongozi kutekeleza maovu( chatu) mf. Ngurumo
xii) Utepetevu ( uzembe) wanashida ulevini
xiii) Kuwaunga mkono viongozi  wasiowajibika baada ya kupewa vipeni. ( vibaraka)
viv) Kutumia lugha chafu/ matusi mf Ngurumo kumtusi Tunu.
xv) Kukosa wachumba/ ukapera mf Ngurumo
xvi) Kuvuja pesa
xvii) Kutofuata maagizo – Chopi hakufuata maagizo ya kumuua Tanu.


   To  get  answers  to  this  and  more  questions  just  Text  " KIGOGO "  to 
     0711224186  together  with  your  email  address  or  Whatsaap  Number. 

  The  Answers  will  be  sent  to  you  afte r  payment  of  1 00/=  to  this  Number  0711 224 186

0 comments:

Post a Comment